Skip to main content

Posts

Showing posts from 2016

ONGEZA THAMANI KWA MATUMIZI MBADALA

Ubunifu katika kutafuta na kufanya matumizi mbadala ya vitu mbalimbali ni njia nzuri yenye kuongeza thamani ya vile vitu vinavyoonekana havifai tena kutumiwa katika matumizi yake ya kawaida. Katika kuongeza thamani wakati mwingine imekuwa ni changamoto hasa katika kupata namna ya kutengeneza matumizi hayo mbadala, mjasiriamali yeye hutafsiri na kuchukulia hali hiyo kama fursa kwake, hii ndiyo kazi yake kubwa, ubunifu na kugundua vitu vipya. Leo tuangalie namna ambavyo Magunia ambayo wakati mwingine hujulikana kwa majina ya viroba au mifuko, yanavyo tengenezwa kuwa Zulia au Capeti au Mapambo ya Ukutani Kwa kawaida Magunia, katika maeneo mengi hutumika katika kuhifadhi mazao mfano nafaka, bidhaa za viwandani na wakati mwingine pia hutumia kuhifadhia uchafu yabisi. Nilifanikiwa kumtembelea mjasiriamali mmoja yeye kazi yake ni kutengeza mazulia au carpet (capeti) au Mapambo ya ukutani alisema hivi “ Kwa kutumia magunia yaliyo isha matumizi yake ya kawaida au lisilo na matu

MAMBO YA KUZINGATIA KATIKA KUAMUA KIPI UFANYE MIONGONI MWA FURSA NYINGI.

Katika maisha ya kila siku, mazingira na matukio yanayojitokeza katika jamii ni mwanya wa kufanya jambo kubwa sana, ni fursa kwako. Ili Kuishi kwa malengo na hatimae kuishi ndoto ni lazima kujifunza kutafsiri kila hali na kugeuza matatitizo yaliyopo kuwa fursa zenye tija kwako na jamii inayokuzunguka. Wakati wengine wakihangaika kutafuta biashara inayolipa wewe unajitaabisha kutafuta tatizo ili ulifumbue! watu huhitaji majawabu ya kile kinacho wasumbua kila siku, Hutawatafuta watumiaji bali utatafutwa kwa kile ulicho kifanya. Hii ni muhimu kwa sababu ukiwa huna sehemu uliyojishikiza, utapelekwa na upepo kokote uendako, maana yake lazima uamue kuwa na shughuli unayoifanya hata kama unaiona ndogo,   mimi nakuambia hiyo ni kubwa ukiifanya kwa hekima, kwa kujituma na ukiithamini kwa namna zote itafungua milango ya shughuli zingine nzuri zaidi. Mambo ya kuzingitia katika kuchagua kipi ufanye, Ukizingatia hali halisi ya uhitaji wa mazingira uliyopo. 1.    Anza kuchunguza soko kabl

THE ASPECTS OF MIND:THE MIND OF KASHENGO

THE MIND OF KASHENGO, Continues…… In their minds and hearts, it was the joyful history for their clan, knowing that, their son (Kashengo) would bring an impact on their clan and society as an educated person. Kashengo marked the goo beginning to his society with the high respect, of which everyone would have to tell in his village. He turned the past history into new history; this became the point of interest in people’s minds in that village. Mrs.Mkumbo insisted Kashengo by telling, “my son, it is not enough you have to prepare good environments for your future life, passing the exam is not enough but shaping your mind to master your future life counts”. Kashengo could then continue by feeling great joy having passed the exam and he could receive more gifts from different people. One day he decided to visit his uncle who was living in the same village. When at uncle’s place, Kashengo got information that he had been selected to join at Ngogwa secondary school which

THE ASPECTS OF MIND

This is among the books written by Rocky Amini; It introduces the faculties of mind, and shows how education is a progress by insisting an individual   to keep fighting and ignore the believes in failing , lastly, an individual is told to be courageous and move forward, This is the aspect of Mind. PREFACE Find out what you real love and do it, if you can’t find it yet, then don’t settle -Steve Jobs INTRODUCTION “The more we learn about the world and the deeper our learning, the more conscious, specific and articulate will be our knowledge of what we do not know, our knowledge of ignorance”-Karl Popper                                                                                                                                                                                             Bacon, “said knowledge is power”. Hill objected to this as he explained the General and specialized knowledge. Knowledge is nothing of the sort like power; knowledge is only a po